Cheko mnene ya Dunia mzima
Hamjambo !
Djina langu ni 100drine,niko na hi kibweta tangu mwaka moja na nusu(http://www1000drine.be
Mara mingi niko na ona maneno yenye si furai nayo ! fasi yote wana piga kelele dju ya Amani ku Irak,ku Liban, ao ku ku Darfour wala pap nako kuko ma tatizo mingi vilevile.
Na katala ku angalia na ku sikitikabila ku fanya kitu na ku ngodja asema mabadiriko i toke kwawatu wengine.Ni me fikiri ,kama kila mutu ana dji tolea sasa ivi,kuko namna ma badiriko i onekane.
Mawazo yangu ni ? ku umba cheko kya dunia mzima !
Namna gani ?wale wote wanao itika wa kamate picha zao wa weke uku ndani.
Hii ma cheko yote ika fatana ita fanya kibao ki kubwa kya ma cheko kabambi na ma rangi ya dunia mzima bila vita.
Uko tayari ? tu endelée ! onesha kwa ba rafiki, ba zazi, ba jomba, ba shangazi.na ku ng ambo yako kama uko na wazo ingine endelea ku tia !dakika ina enea dju tu tingizike pamodja.
I smile4 peace - Na cheka dju ya Amani
Le plus grand sourire du monde
envoyé par 100drine_be









